Font Size
Marko 14:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 14:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Lakini Yesu akawaambia, “Kwa nini mnamnyanyasa? Mwacheni! Amenitendea jambo zuri na jema. 7 Maskini mnao wakati wote na mnaweza kuwapa tia msaada wakati wo wote mtakapo. Lakini hamtakuwa nami wakati wote. 8 Huyu mama amenitendea lile aliloweza. Amenipaka manukato kuniandaa kwa mazishi yangu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica