Font Size
Marko 14:60-62
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 14:60-62
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
60 Kisha kuhani mkuu akasimama mbele yao na akamwuliza Yesu, “Je, wewe hutajibu? Nini ushahidi huu ambao watu wanaleta dhidi yako?” 61 Lakini Yesu alinyamaza kimya na hakutoa jibu lolote.
Kwa mara nyingine kuhani mkuu akamwuliza, “Je, wewe ni Kristo, Mwana wa Mungu anayesifiwa?”
62 Yesu akasema, “Mimi ndiye. Nanyi mtamwona Mwana wa Adamu akiketi mkono wa kuume wa Mungu Mwenye uweza wote akija pamoja na mawingu ya mbinguni.”[a]
Read full chapterFootnotes
- 14:62 Mwana wa Adamu … ya mbinguni Tazama Dan 7:13 na Zab 110:1.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International