Font Size
Marko 14:61-63
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 14:61-63
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
61 Lakini Yesu alinyamaza kimya na hakutoa jibu lolote.
Kwa mara nyingine kuhani mkuu akamwuliza, “Je, wewe ni Kristo, Mwana wa Mungu anayesifiwa?”
62 Yesu akasema, “Mimi ndiye. Nanyi mtamwona Mwana wa Adamu akiketi mkono wa kuume wa Mungu Mwenye uweza wote akija pamoja na mawingu ya mbinguni.”[a]
63 Kuhani mkuu alichana mavazi yake na kusema, “Tuna haja gani ya kuleta mashahidi zaidi?
Read full chapterFootnotes
- 14:62 Mwana wa Adamu … ya mbinguni Tazama Dan 7:13 na Zab 110:1.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International