Font Size
Marko 14:63-65
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 14:63-65
Neno: Bibilia Takatifu
63 Kuhani Mkuu akararua mavazi yake, akasema, “Tuna haja gani tena ya mashahidi? 64 Ninyi wote mmemsikia akikufuru! Mna toa hukumu gani?” Wote wakamhukumu kwamba ana hatia na auawe.
65 Kisha baadhi ya watu wakaanza kumtemea mate; wakamfunga kitambaa usoni wakampiga na kumwambia, “Toa unabii, utuambie nani amekupiga!” Maaskari wakampokea kwa mapigo.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica