Font Size
Marko 14:66-68
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 14:66-68
Neno: Bibilia Takatifu
Petro Amkana Yesu
66 Petro alikuwa bado yuko barazani. Kisha akaja mtumishi mmoja wa kike wa kuhani mkuu. 67 Alipomwona Petro akiota moto, alimtazama sana, akamwambia, “Wewe pia ulikuwa pamoja na Yesu Mnazareti.” 68 Lakini Petro akakataa, akasema, “Sijui wala sielewi unalosema,” akaondoka akaenda mlangoni.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica