Font Size
Marko 14:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 14:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 Maskini mnao wakati wote na mnaweza kuwapa tia msaada wakati wo wote mtakapo. Lakini hamtakuwa nami wakati wote. 8 Huyu mama amenitendea lile aliloweza. Amenipaka manukato kuniandaa kwa mazishi yangu. 9 Nawaambieni hakika, mahali po pote duniani ambapo Habari Njema itahubiriwa, jambo hili alilo nitendea huyu mama, litatajwa kwa ukumbusho wake.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica