Font Size
Marko 14:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 14:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
8 Yeye amefanya kile alichokiweza kufanya. Ameumwagia manukato mwili wangu kabla ya wakati kuuandaa kwa ajili ya maziko. 9 Ninawaambia kweli: Popote injili itakapohubiriwa ulimwenguni, kile alichokifanya kitasimuliwa kwa kumkumbuka.”
Yuda Akubali Kuwasaidia Adui wa Yesu
(Mt 26:14-16; Lk 22:3-6)
10 Kisha Yuda Iskarioti, mmoja wa wale kumi na mbili, aliwaendea viongozi wa makuhani ili kumsaliti Yesu kwao.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International