Font Size
Marko 15:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 15:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
15 Kulipopambazuka, makuhani wakuu walifanya mkutano pamoja na wazee na walimu wa sheria, na Baraza zima likafanya mashauri. Wakamfunga Yesu, wakamchukua na kumkabidhi kwa Pilato. 2 Pilato akamwuliza, “Wewe ndiye Mfalme wa Wayahudi?” Yesu akajibu, “Wewe ndiye uliyesema maneno hayo.” 3 Makuhani wakuu wakamsh taki kwa mambo mengi.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica