Font Size
Marko 15:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 15:11-13
Neno: Bibilia Takatifu
11 Lakini makuhani wakuu wakawa chochea watu wamwombe awafungulie Baraba.
12 Pilato akawauliza tena watu, “Nimfanye nini huyu mtu mnayemwita mfalme wa Wayahudi?” 13 Wakapiga kelele, “Msulub ishe!”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica