Font Size
Marko 15:11-13
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 15:11-13
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
11 Lakini wale viongozi wa makuhani walimchochea amwache Baraba badala ya Yesu.
12 Lakini Pilato akawauliza watu tena, “Kwa hiyo nifanye nini na mtu huyu mnayemwita Mfalme wa Wayahudi?”
13 Wakapiga kelele “Muue kwenye msalaba.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International