Font Size
Marko 15:12-14
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 15:12-14
Neno: Bibilia Takatifu
12 Pilato akawauliza tena watu, “Nimfanye nini huyu mtu mnayemwita mfalme wa Wayahudi?” 13 Wakapiga kelele, “Msulub ishe!” 14 Akawauliza, “Kwa nini? Amefanya kosa gani?” Lakini wao wakapiga kelele kwa nguvu zaidi, “Msulubishe!”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica