Font Size
Marko 15:12-14
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 15:12-14
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
12 Lakini Pilato akawauliza watu tena, “Kwa hiyo nifanye nini na mtu huyu mnayemwita Mfalme wa Wayahudi?”
13 Wakapiga kelele “Muue kwenye msalaba.”
14 Lakini Pilato akawauliza, “Kwa nini? Je, amefanya kosa gani?”
Lakini wote wakapiga kelele zaidi, “Muue kwenye msalaba!”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International