Font Size
Marko 15:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 15:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
13 Wakapiga kelele, “Msulub ishe!” 14 Akawauliza, “Kwa nini? Amefanya kosa gani?” Lakini wao wakapiga kelele kwa nguvu zaidi, “Msulubishe!”
15 Pilato alitaka kuwaridhisha watu, kwa hiyo akamfungulia Baraba; na baada ya kuamuru Yesu apigwe mijeledi, akamtoa asulub ishwe.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica