Font Size
Marko 15:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 15:14-16
Neno: Bibilia Takatifu
14 Akawauliza, “Kwa nini? Amefanya kosa gani?” Lakini wao wakapiga kelele kwa nguvu zaidi, “Msulubishe!”
15 Pilato alitaka kuwaridhisha watu, kwa hiyo akamfungulia Baraba; na baada ya kuamuru Yesu apigwe mijeledi, akamtoa asulub ishwe.
Maaskari Wamdhihaki Yesu
16 Maaskari wakampeleka Yesu hadi kwenye ukumbi wa ndani ya Ikulu iliyoitwa Praitoria, wakakusanya kikosi kizima cha askari.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica