Font Size
Marko 15:15-17
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 15:15-17
Neno: Bibilia Takatifu
15 Pilato alitaka kuwaridhisha watu, kwa hiyo akamfungulia Baraba; na baada ya kuamuru Yesu apigwe mijeledi, akamtoa asulub ishwe.
Maaskari Wamdhihaki Yesu
16 Maaskari wakampeleka Yesu hadi kwenye ukumbi wa ndani ya Ikulu iliyoitwa Praitoria, wakakusanya kikosi kizima cha askari. 17 Wakamvika Yesu vazi la zambarau, wakatengeneza taji ya miiba, wakamvika.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica