Font Size
Marko 15:16-18
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 15:16-18
Neno: Bibilia Takatifu
Maaskari Wamdhihaki Yesu
16 Maaskari wakampeleka Yesu hadi kwenye ukumbi wa ndani ya Ikulu iliyoitwa Praitoria, wakakusanya kikosi kizima cha askari. 17 Wakamvika Yesu vazi la zambarau, wakatengeneza taji ya miiba, wakamvika. 18 Wakaanza kumsalimu kwa dhihaka, “Salamu, Mfalme wa Wayahudi!”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica