Font Size
Marko 15:3-5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 15:3-5
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
3 Na viongozi wa makuhani wakamshitaki Yesu kwa mambo mengi. 4 Kwa hiyo Pilato akamwuliza Yesu swali lingine. Akasema, “Wewe hata kujibu hujibu? Angalia una mashitaka mengi wanayokuletea!”
5 Lakini Yesu hakujibu kitu chochote, na Pilato akastaajabu.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International