Font Size
Marko 15:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 15:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 Pilato akamwuliza tena, “Huna la kujibu?
Unasikia mashtaka yao!”
5 Yesu hakusema neno. Pilato akashangaa.
Yesu Ahukumiwa Kifo
6 Ilikuwa desturi wakati wa sherehe za Pasaka kumfungulia mfungwa ye yote ambaye watu walimtaka .
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica