Font Size
Marko 15:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 15:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
4 Kwa hiyo Pilato akamwuliza Yesu swali lingine. Akasema, “Wewe hata kujibu hujibu? Angalia una mashitaka mengi wanayokuletea!”
5 Lakini Yesu hakujibu kitu chochote, na Pilato akastaajabu.
Pilato Ajaribu Kumwachia Huru Yesu
(Mt 27:15-31; Lk 23:13-25; Yh 18:39-19:16)
6 Kila mwaka wakati wa Sherehe ya Pasaka Pilato atamweka huru mfungwa mmoja atakayechaguliwa na watu.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International