Font Size
Marko 15:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 15:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
Unasikia mashtaka yao!”
5 Yesu hakusema neno. Pilato akashangaa.
Yesu Ahukumiwa Kifo
6 Ilikuwa desturi wakati wa sherehe za Pasaka kumfungulia mfungwa ye yote ambaye watu walimtaka . 7 Wakati huo, mtu mmoja aitwaye Baraba alikuwa amefungwa gerezani pamoja na wahalifu wen gine kwa makosa ya kusababisha uasi ambapo mauaji yalitokea.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica