Font Size
Marko 15:5-7
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 15:5-7
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
5 Lakini Yesu hakujibu kitu chochote, na Pilato akastaajabu.
Pilato Ajaribu Kumwachia Huru Yesu
(Mt 27:15-31; Lk 23:13-25; Yh 18:39-19:16)
6 Kila mwaka wakati wa Sherehe ya Pasaka Pilato atamweka huru mfungwa mmoja atakayechaguliwa na watu. 7 Mtu mmoja aliyeitwa Baraba alikuwa gerezani amefungwa pamoja na waasi. Watu hawa walifanya mauaji wakati wa fujo.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International