Font Size
Marko 15:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 15:7-9
Neno: Bibilia Takatifu
7 Wakati huo, mtu mmoja aitwaye Baraba alikuwa amefungwa gerezani pamoja na wahalifu wen gine kwa makosa ya kusababisha uasi ambapo mauaji yalitokea. 8 Basi watu waliokusanyika walimjia Pilato wakamwomba awafanyie kama ilivyokuwa desturi wakati wa Pasaka. 9 Pilato akawauliza, “Mnataka nimfungue huyu mfalme wa Wayahudi?”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica