Font Size
Marko 15:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 15:7-9
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
7 Mtu mmoja aliyeitwa Baraba alikuwa gerezani amefungwa pamoja na waasi. Watu hawa walifanya mauaji wakati wa fujo.
8 Watu walikuja Kwa Pilato na kumwomba amweke huru mfungwa kama alivyofanya siku zote. 9 Yeye akawauliza, “Je, mnataka nimwache huru mfalme wa Wayahudi?”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International