Font Size
Marko 15:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 15:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
8 Basi watu waliokusanyika walimjia Pilato wakamwomba awafanyie kama ilivyokuwa desturi wakati wa Pasaka. 9 Pilato akawauliza, “Mnataka nimfungue huyu mfalme wa Wayahudi?” 10 Alikuwa ana fahamu kwamba wakuu wa makuhani walikuwa wanamwonea Yesu wivu ndio sababu wakamshtaki kwake.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica