Font Size
Marko 15:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 15:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
8 Watu walikuja Kwa Pilato na kumwomba amweke huru mfungwa kama alivyofanya siku zote. 9 Yeye akawauliza, “Je, mnataka nimwache huru mfalme wa Wayahudi?” 10 Pilato alilisema hili kwa sababu alijua kuwa viongozi wa makuhani walimleta kwake kwa ajili ya wivu tu.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International