Font Size
Marko 15:9-11
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 15:9-11
Neno: Bibilia Takatifu
9 Pilato akawauliza, “Mnataka nimfungue huyu mfalme wa Wayahudi?” 10 Alikuwa ana fahamu kwamba wakuu wa makuhani walikuwa wanamwonea Yesu wivu ndio sababu wakamshtaki kwake. 11 Lakini makuhani wakuu wakawa chochea watu wamwombe awafungulie Baraba.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica