Font Size
Marko 3:31-33
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 3:31-33
Neno: Bibilia Takatifu
Mama Na Ndugu Wa Yesu
31 Mama yake Yesu na ndugu zake wakafika wakasimama nje wakamtuma mtu amwite. 32 Umati wa watu waliokuwa wameketi kum zunguka wakamwambia, “Mama yako na ndugu zako wako nje, wana kutafuta.”
33 Akawauliza, “Mama yangu na ndugu zangu ni akina nani?”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica