Font Size
Marko 3:32-34
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 3:32-34
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
32 Humo lilikuwepo kundi lililoketi kumzunguka, lakini wao wakamwambia, “Tazama! Mama yako, kaka zako na dada zako wako[a] nje wanakusubiri.”
33 Yesu akauliza, “Mama yangu ni nani na kaka zangu ni akina nani?” 34 Yesu akawatazama wale walioketi kumzunguka na akasema “Hapa yupo mama yangu na wapo kaka zangu na dada zangu!
Read full chapterFootnotes
- 3:32 na dada zako wako Nakala zingine za Kiyunani hazina maneno haya.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International