Font Size
Marko 3:33-35
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 3:33-35
Neno: Bibilia Takatifu
33 Akawauliza, “Mama yangu na ndugu zangu ni akina nani?”
34 Akawatazama wale watu waliokuwa wameketi kumzunguka, akasema, “Hawa ndio mama zangu na ndugu zangu. 35 Mtu ye yote anayetenda mapenzi ya Mungu ndiye ndugu yangu na dada yangu na mama yangu.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica