Font Size
Marko 3:34-35
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 3:34-35
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
34 Yesu akawatazama wale walioketi kumzunguka na akasema “Hapa yupo mama yangu na wapo kaka zangu na dada zangu! 35 Yeyote anayeyafanya mapenzi ya Mungu ndiye kaka yangu, dada yangu, na mama yangu.”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International