Font Size
Marko 4:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 4:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Mfano Wa Mbegu
4 Wakati mwingine tena Yesu alianza kufundisha kando ya ziwa. Watu wengi walikusanyika wakasongamana mpaka ukingoni mwa ziwa. Ikambidi Yesu aingie kwenye mashua, akaketi humo. 2 Akawafundisha mambo mengi kwa kutumia mifano na katika mafundisho yake akasema:
3 “Sikilizeni! Mkulima mmoja alikwenda kupanda mbegu zake.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica