Font Size
Marko 4:12-14
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 4:12-14
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
12 Ili kwamba,
‘japo watatazama
sana hawataona,
na kwamba japo watasikia
sana hawataelewa;
vinginevyo,
wangegeuka na kusamehewa!’”(A)
Yesu Afafanua Simulizi Kuhusu Mbegu
(Mt 13:18-23; Lk 8:11-15)
13 Akawaambia, “Hamuelewi mfano huu? Sasa je mtaelewaje mfano wowote nitakaowapa? 14 Mkulima ni badala ya yule anayepanda lile neno la Mungu.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International