Font Size
Marko 4:18-20
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 4:18-20
Neno: Bibilia Takatifu
18 Na wengine, ni kama mbegu zile zilizoanguka kwenye miiba. Wao hulisikia neno, 19 lakini mahangaiko ya dunia, udanganyifu wa mali na tamaa za mambo mbalimbali hulisonga lile neno, lisizae matunda.
20 “Bali wengine ni kama ile mbegu iliyopandwa kwenye udongo mzuri. Wao hulisikia neno wakalipokea na kuzaa matunda: wengine thelathini, wengine sitini, na wengine mia moja.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica