Font Size
Marko 4:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 4:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 Akawafundisha mambo mengi kwa kutumia mifano na katika mafundisho yake akasema:
3 “Sikilizeni! Mkulima mmoja alikwenda kupanda mbegu zake. 4 Alipokuwa akipanda, baadhi ya mbegu zilianguka njiani; ndege wakaja wakazila.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica