Font Size
Marko 4:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 4:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
2 Yesu akawafundisha mambo mengi kwa simulizi zenye mafumbo. Katika mafundisho yake alisema:
3 “Sikilizeni! Mkulima mmoja alitoka kwenda kupanda mbegu. 4 Alipokuwa akitupa na kuzisambaza mbegu hizo nyingine ikaanguka katika njia, na ndege wakaja na kuila.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International