Font Size
Marko 4:21-23
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 4:21-23
Neno: Bibilia Takatifu
Mfano Wa Taa
21 Akawaambia tena, “Je, mtu anapowasha taa, huifunika kwa bakuli au kuiweka mvunguni? Si anaiweka mahali pa wazi? 22 Hali kadhalika, kila kilichofichwa kitatolewa hadharani; na kila siri itafichuliwa. 23 Mwenye nia ya kusikia, na asikie.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica