Font Size
Marko 4:24-26
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 4:24-26
Neno: Bibilia Takatifu
24 Akaendelea kuwaambia, “Myaweke maanani haya mnayosikia. Kipimo mnachotumia kwa wengine ndicho kitakachotumiwa kuwapima na ninyi, hata na zaidi. 25 Kwa maana aliye na kitu ataongezewa, na asiye na kitu atanyang’anywa hata kile kidogo alicho nacho.”
Mfano Wa Jinsi Mbegu Inavyoota
26 Akawaambia tena, “Ufalme wa mbinguni unafanana na mtu apandaye mbegu shambani.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica