Font Size
Marko 4:29-31
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 4:29-31
Neno: Bibilia Takatifu
29 Mavuno yanapokuwa tayari, bila kupoteza wakati, yule mkulima huleta mtu akaikata hiyo mimea kwa kuwa wakati wa kuvuna umefika.”
Mfano Wa Mbegu Ya Haradali
30 Akawaambia tena, “Tuufananishe Ufalme wa Mungu na nini? Au tutumie mfano gani ili kuuelezea? 31 Tunaweza kuufa nanisha na punje ya haradali, ambayo ni mbegu ndogo sana kuliko mbegu zote zinazopandwa ardhini.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica