Font Size
Marko 4:33-35
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 4:33-35
Neno: Bibilia Takatifu
33 Yesu alitumia mifano mingine mingi kama hii kuwaelezea neno la Mungu, kwa kadiri walivyoweza kuelewa. 34 Hakuwafundisha lo lote kuhusu Ufalme wa Mungu pasipo kutumia mifano. Lakini ali pokuwa na wanafunzi wake, aliwafafanulia kila kitu.
Yesu Atuliza Dhoruba
35 Siku hiyo, ilipokaribia jioni, aliwaambia wanafunzi wake, “Tuvuke, twende ng’ambo ya pili.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica