Font Size
Marko 4:36-38
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 4:36-38
Neno: Bibilia Takatifu
36 Wakawaacha wale watu wakaingia katika ile mashua ambamo Yesu alikuwa amekaa. Pia palikuwa na mashua nyingine.
37 Pakatokea dhoruba kali, mawimbi yakaipiga ile mashua waliyokuwa wakivukia, ikaanza kujaa maji. Yesu alikuwa amelala akiegemea mto sehemu ya nyuma kwenye ile mashua. 38 Wanafunzi wake wakamwamsha, wakamwambia, “Mwalimu, hujali kwamba tuna zama?’
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica