Font Size
Marko 4:37-39
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 4:37-39
Neno: Bibilia Takatifu
37 Pakatokea dhoruba kali, mawimbi yakaipiga ile mashua waliyokuwa wakivukia, ikaanza kujaa maji. Yesu alikuwa amelala akiegemea mto sehemu ya nyuma kwenye ile mashua. 38 Wanafunzi wake wakamwamsha, wakamwambia, “Mwalimu, hujali kwamba tuna zama?’ 39 Akaamka, akaukemea ule upepo, akaiambia ile bahari, “Kaa kimya! Tulia!” Ule upepo ukatulia, kukawa shwari.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica