Font Size
Marko 4:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 4:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 Alipokuwa akipanda, baadhi ya mbegu zilianguka njiani; ndege wakaja wakazila. 5 Nyingine zilianguka kwenye mwamba ambapo kuli kuwa na udongo haba; zikaota haraka. Kwa kuwa udongo haukuwa na kina, 6 jua kali lilipowaka zilinyauka na kukauka kwa kuwa hazi kuwa na mizizi.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica