Font Size
Marko 4:40-41
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 4:40-41
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
40 Kisha akawaambia, “Kwa nini mnaogopa? Je! Bado hamna imani yoyote?”
41 Lakini walikuwa na woga sana, na wakasemezana wao kwa wao, “Ni nani basi huyu ambaye hata upepo na ziwa vinamtii?”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International