Font Size
Marko 4:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 4:5-7
Neno: Bibilia Takatifu
5 Nyingine zilianguka kwenye mwamba ambapo kuli kuwa na udongo haba; zikaota haraka. Kwa kuwa udongo haukuwa na kina, 6 jua kali lilipowaka zilinyauka na kukauka kwa kuwa hazi kuwa na mizizi. 7 Mbegu nyingine zilianguka kwenye miiba, miiba hiyo ikakua ikazisonga kwahiyo hazikuzaa matunda.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica