Font Size
Marko 4:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 4:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 jua kali lilipowaka zilinyauka na kukauka kwa kuwa hazi kuwa na mizizi. 7 Mbegu nyingine zilianguka kwenye miiba, miiba hiyo ikakua ikazisonga kwahiyo hazikuzaa matunda.
8 Na mbegu nyingine zilianguka kwenye udongo mzuri, zikaota vizuri na kukua; zikazaa matunda; moja thelathini, nyingine sitini na nyingine mia moja.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica