Font Size
Marko 4:9-11
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 4:9-11
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
9 Kisha akasema, “Kila mwenye masikio mazuri ayasikie haya.”
Kwa nini Yesu Alitumia Simulizi Kufundisha
(Mt 13:10-17; Lk 8:9-10)
10 Yesu alipokuwa peke yake, wale waliomzunguka na wale kumi na wawili walimuuliza kuhusu mifano hiyo.
11 Akawaambia, “Ni ninyi tu mliojaliwa kuzifahamu siri juu ya Ufalme wa Mungu. Lakini kwa wale walio nje nanyi mambo yote yatasemwa kwa simulizi zenye mafumbo,
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International