Font Size
Marko 5:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 5:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 Yesu alipotoka kwenye mashua, mtu mmoja mwenye pepo mchafu alitoka makaburini akaja kukutana naye. 3 Mtu huyu aliishi makaburini wala hakuna aliyeweza kumfunga hata kwa minyororo , 4 kwa maana mara nyingi alipofungwa kwa minyororo mikononi na vyuma miguuni, aliivunjavunja na hakuna mtu aliyekuwa na nguvu za kumshinda.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica