Font Size
Marko 5:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 5:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
3 Mtu huyu aliishi makaburini wala hakuna aliyeweza kumfunga hata kwa minyororo , 4 kwa maana mara nyingi alipofungwa kwa minyororo mikononi na vyuma miguuni, aliivunjavunja na hakuna mtu aliyekuwa na nguvu za kumshinda. 5 Usiku na mchana alikaa makaburini na milimani aki piga makelele na kujikatakata kwa mawe.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica