Font Size
Marko 7:33-35
Neno: Bibilia Takatifu
Marko 7:33-35
Neno: Bibilia Takatifu
33 Yesu akampeleka yule kiziwi kando mbali na watu, akain giza vidole masikioni mwake kisha akatema mate na akaugusa ulimi wake. 34 Ndipo Yesu akatazama mbinguni, akahema kwa uchungu, akamwambia, “Efatha!” yaani “Funguka!” 35 Wakati huo huo masikio ya yule mtu yakafunguka na ulimi wake ukawa huru akaanza kusema vizuri.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica