Font Size
Marko 7:34-36
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Marko 7:34-36
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
34 Akaangalia juu mbinguni, akapumua na kumwambia “Efatha” yaani, “Funguka!” 35 Mara masikio ya mtu yule yakafunguka, na ulimi wake ukawa huru, na akaanza kuzungumza, vizuri.
36 Lakini kadiri jinsi alivyowaamuru wasimwambie mtu ndivyo walivyozidi kueneza habari hiyo.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International